Mgombea Urais wa CCM Dkt.Hussein
Ali Hassan Mwinyi (kushoto) akipokea Ilani ya Chama cha Mapinduzi
2020-2025 kutoka kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein
mara baada ya kumtambulisha kwa wanaCCM wa Mikoa ya Pemba katika
Uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu Mwezi Octoba zilizofanyika leo
uwanja wa Gombanio ya Kale Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba.[]Piocha na
Ikulu] 16 Sep 2020.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed
Shein akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Abdalla
Juma Saadala katika Uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu Mwezi Octoba
zilizofanyika leo uwanja wa Gombani ya Kale Chakechake Mkoa wa Kusini
Pemba.[]Piocha na Ikulu] 16 Sep 2020.
Maelfu ya Wanachi na WanaCCM wa
Mikoa wa Pemba wakiwa katika UIzinduzi wa Kampeni za CCM kwa
Kuwatambulisha na kuwaombea Kura wagombea wa nafasi mbali mbali ikiwemo
Urais wa Zanzibar,Ubunge,Uwakilishi na Udiwani katika Uwanja wa Gombani
ya Kale Wilaya ya Chakechake Pemba leo.[Picha na Ikulu.] 16/Sep 2020.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...