Mwenyekiti
wa Chama cha mapinduzi mkoa Kagera, Mama Costansia Buhiye(katikati),
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi wilya Karagwe, Roninson Mtafungwa
(kushoto) na MNEC wa mkoa Kagera, Willibroad Mtabuzi(Kulia) Wameambatana
kuwatembelea wanafunzi waliolazwa katika hospitali ya Nyakahanga
kufatia ajari ya kuungua moto bweni la shule ya msingi Isilamic
(Byamungu), uliotokea usiku wa kuamkia leo. , Kyerwa, Kagera, Septemba
14, 2020
Mwenyekiti
wa Chama cha mapinduzi mkoa Kagera, Mama Costansia Buhiye (aliyevaa
miwani) akiwa ameambatana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa
Kagera wakitoa pole na kuwafaliji wazazi wa wanafunzi waliolazwa katika
hospitali ya Nyakahanga kufatia ajari ya kuungua moto bweni la shule ya
msingi Isilamic (Byamungu), uliotokea usiku wa kuamkia leo, Kyerwa,
Kagera, Septemba 14, 2020


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...