Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji
na mwakilishi wa Tanzania katika Umoja wa Ulaya Mhe. Jestas Abuok
Nyamanga pichani kulia akisisitiza vipaumbele vya Tanzania na zile za
nchi za OACPS kwa Rais wa Baraza la Umoja wa Ulaya Mhe. Charles Michel
kushoto. Kulia mwa Balozi ni afisa Mwandamizi wa ubalozi Dkt Geofrey
Kabakaki na Kushoto mwa Rais Michel ni Afisa wa EU anayeshughulikia
masuala ya Tanzania kutoka makao makuu ya Umoja huo Bibi Christina
Barrios.

Mhe. Balozi Jestas Nyamanga kuliaa
akiwasilisha hati za utambulisho kwa Mkuu wa Itifaki wa Ofisi ya Rais
wa Baraza la Umoja wa Ulaya





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...