Mkuu
wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro (wa pili kutoka kushoto)
akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Kusini Pemba Mhe. Hemed Suleiman kabla
ya kuanza kwa kikao kazi na wadau wa vyama vya siasa, viongozi wa dini,
viongozi wa Kamati ya ulinzi na usalama pamoja na wadau wengine wa
uchaguzi kisiwani Pemba. Picha na Jeshi la Polisi.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...