Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia  mkutano wa Sekta Binafsi kwa ajili ya kumpongeza  Rais  wa Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania Dkt. John  Magufuli  kwa kazi nzuri na mafanikio yaliyopatikana katika kipindi chake cha miaka mitano ya Uongozi wake kuanzia 2015/2020, katika  ukumbi wa kimataifa wa mikutano  wa Julius Nyerere Jjijini Dar es salaam leo Octoba 18,2020. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...