Jaji Mkuu wa Tanzania,  Prof. Ibrahim Hamis Juma akizungumza na
Wajumbe/Washiriki wakati wa ufunguzi rasmi wa mafunzo ya Semina elekezi
kwa wajumbe hao wa Baraza jipya la saba (7) la Uongozi wa Chuo cha
Uongozi wa Mahakama (IJA) Lushoto.



Jaji Mkuu akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Baraza la saba (7)
la Uongozi wa Chuo hicho.




Pichani ni baadhi ya Washiriki na Wawezeshaji wa Semina hiyo.



Picha ya pamoja ya Wajumbe na Washiriki wa semina hiyo. Walioketi

katikati ni mgeni rasmi, Jaji Mkuu wa Tanzania. Mhe. Prof. Ibrahim Hamis

Juma, kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ushauri ya Mhe. Jaji Mkuu

(Mafunzo na Utafiti), Mhe. Jaji Augustine Mwarija na kushoto ni Mwenyekiti

wa Baraza hilo, Mhe. Jaji Dkt. Gerald Ndika.(Picha zote na Mary Gwera, (Mahakama.)



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...