Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Hamis Juma akizungumza na
Wajumbe/Washiriki wakati wa ufunguzi rasmi wa mafunzo ya Semina elekezi
kwa wajumbe hao wa Baraza jipya la saba (7) la Uongozi wa Chuo cha
Uongozi wa Mahakama (IJA) Lushoto.
Jaji Mkuu akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Baraza la saba (7)
la Uongozi wa Chuo hicho.
Pichani ni baadhi ya Washiriki na Wawezeshaji wa Semina hiyo.
Picha ya pamoja ya Wajumbe na Washiriki wa semina hiyo. Walioketi
katikati ni mgeni rasmi, Jaji Mkuu wa Tanzania. Mhe. Prof. Ibrahim Hamis
Juma, kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ushauri ya Mhe. Jaji Mkuu
(Mafunzo na Utafiti), Mhe. Jaji Augustine Mwarija na kushoto ni Mwenyekiti
wa Baraza hilo, Mhe. Jaji Dkt. Gerald Ndika.(Picha zote na Mary Gwera, (Mahakama.)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...