Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wasanii wa Bongo Flavour Ali Kiba na Asley walipomtembelea kwenye Ikulu ndogo ya Mpanda Mkoani Katavi leo Octoba 07,2020. Makamu wa Rais yupo Mkoani Katavi akiendelea na ziara za kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM. Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Wasanii wa Bongo Flavour waliongozwa na Mkongwe na musiki huo Ali Kiba walipomtembelea kwenye Ikulu ndogo ya Mpanda Mkoani Katavi leo Octoba 07,2020. Makamu wa Rais yupo Mkoani Katavi akiendelea na ziara za kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM. Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika Picha ya pamoja na Wasanii wa Bongo Flavour waliongozwa na Mkongwe na musiki huo Ali Kiba walipomtembelea kwenye Ikulu ndogo ya Mpanda Mkoani Katavi leo Octoba 07,2020. Maakamu wa Rais yupo Mkoani Katavi akiendelea na ziara za kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM.

(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...