Umoja wa wenye mabenki Tanzania (TBA) umezindua kampeni ya kuhamasisha elimu ya Kifedha iitwayo Niko Fiti. Akizungumza wakati wa uzinduzi Naibu Gavana wa Benki Kuu Dr.Bernard Kibese alizipongeza benki kwa kubuni mkakati huu Na kuzitaka kuendelea kuongeza ubora wa huduma zao Na elimu ya fedha kwa wateja.
Kwa upande wake mwenyekiti TBA Abdulmajid Nsekela amesema Niko Fiti ni mkakati mahususi wa kuongeza elimu Na kujali wateja unatekelezwa Na wanachama wote wa TBA. Tunafurahi pia kwamba mkakati huu unakuja wakati wa wiki ya wateja inaanza hivyo kwenda sambamba Na umuhimu wa kuboresha huduma Na uelewa wa wateja wa huduma za kibenki.
Home
Unlabelled
UMOJA WA MABENKI WAZINDUA KAMPENI YA KUHAMASISHA ELIMU YA KIFEDHA IITWAYO NIKO FITI.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...