MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Mwera, Zahor Mohammed Haji, akizungumza na Mabalozi wa Nyumba kumi wa Chama cha Mapinduzi CCM, katika Ukumbi wa CCM Wilaya ya Mfenesini mjini Unguja Zanzibar leo Okt 17/2020, ikiwa ni muendelezo wa elimu ya kupiga kura kuelekea uchaguzi mkuu wa Okt 28, mwaka huu. (Picha na Muhidin Sufiani)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...