Mgombea Urais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Hassan Mwinyi alipokuwa akitoa sera za Chama na kuomba kura kwa Wanannchi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi katika Mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika leo Jimbo la Bumbwini Wilaya ya Kaskazini “B” Mkoa wa Kaskazini Unguja,[Picha na Ikulu] 07/10/2020.

Wanachama wa CCM “Team Mwinyi Kwanza” ni miongoni mwa waliohudhuria katika Mkutano
wa Kampeni za CCM uliofanyika leo Jimbo la Bumbwini Wilaya ya Kaskazini
“B” Mkoa wa Kaskazini Unguja uliowanadi wagombea nafasi za Uongozi
katika Uchaguzi Mkuu wa Mwezi Octoba mwaka huu.[Picha na Ikulu]
07/10/2020.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed
Shein (kushoto) alipokuwa akimkabidhi Ilani ya Chama cha Mapinduzi
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mahonda Abdalla Ali Hassan Mwinyi wakati
wa Mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika leo Jimbo la Bumbwini Wilaya ya
Kaskazini “B” Mkoa wa Kaskazini Unguja.[Picha na Ikulu] 07/10/2020.
Wagombea Ubunge na Uwakilishi CCM Jimbo la Bumbwini wakionesha Ilani walizokabidhiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein wakati wa Mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika leo Jimbo la Bumbwini Wilaya ya Kaskazini “B” Mkoa wa Kaskazini Unguja.[Picha na Ikulu] 07/10/2020.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...