Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono kuwasalimia wananchi wa Babati mjini mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Kwaraa Babati mkoani Manyara leo tarehe 25 Oktoba 2020.

Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Babati katika mkutano wa Kampeni za CCM zilizofanyika katika uwanja wa Kwaraa Babati mkoani Manyara leo tarehe 25 Oktoba 2020.

Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mkutano wa Kampeni katika eneo la Magugu Babati mkoani Manyara leo tarehe 25 Oktoba 2020.

Sehemu ya Wananchi wa Babati waliofurika katika uwanja wa Kwaraa kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katika mkutano wa Kampeni za CCM leo tarehe 25 Oktoba 2020

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...