Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimkabidhi Kitabu cha Ilani ya utekelezaji wa CCM  2020/25 Mbunge Mteule wa Jimbo la Iramba Magharibi Mhe. Mwigulu Nchemba kwenye mkutano wa kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM zilizofanyika katika wa Shule ya Msingi Kiomboi Bomani Wilaya Iramba Mkoani Singida leo Octoba 02,2020.

Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM na Wananchi wa Kiomboi Magharibi wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,  alipokuwa akuhutubia mkutano wa  kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM katika Uwanja wa Shule ya Msingi Kiomboi Bomani Wilaya Iramba Mkoni Singida leo Octoba 02,2020.

Wasanii wa Kikundi cha Wasanii wa Palanjo Brathers kinachoongozwa na Wasanii Emmanuel Palanjo, Zakayo Palanjo na Marco Palanjo cha Meru wakitoa Burudani kwenye mkutano wa kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM zilizofanyika katika Uwanja wa Shule ya Msingi Kiomboi Bomani Wilaya Iramba Mkoani Singida leo Octoba 02,2020 ambapo Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, alihutubia mkutano wa kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM Wananchi wa Jimbo la Iramba Magharibi.

Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wasanii wa Kikundi cha Palanjo Brathers kinachoongozwa na Wasanii Emmanuel Palanjo, Zakayo Palanjo na Marco Palanjo cha Meru baada ya kutoa Burudani kwenye mkutano wa kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM zilizofanyika katika Uwanja wa Shule ya Msingi Kiomboi Bomani Wilaya Iramba Mkoani Singida leo Octoba 02,2020.  Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...