Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa  Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) Mwenyekiti wa Wakala wa Barabara (ZANROAD)Nd.Mohamed Suleiman Zidi (kushoto) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwnamwema Shein (wa pili kulia) Waziri wa Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji Dk.Sira Ubwa Mamboya (kulia) wakiwa katika sherehe  za Ufunguzi wa Barabara ya Ole-Kengeja  katika uwanja wa Nyundo Kengeja Wilaya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba.[Picha na Ikulu] 16/10/2020.

Viongozi mbali mbali wa Vikosi vya Ulinzi na wananchi wakiwa katika sherehe  za Ufunguzi wa Barabara ya Ole-Kengeja  zilizofanyika leo katika uwanja wa Nyundo Kengeja Wilaya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba Mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa  Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) .[Picha na Ikulu] 16/10/2020. Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwnamwema Shein (kushoto) Waziri wa Ujenzi,mawasiliano na Usafirishaji Dk.Sira Ubwa Mamboya(katikati) na Mkuu  wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe.Hemed Suleiman wakiwa katika sherehe  za Ufunguzi wa Barabara ya Ole-Kengeja  zilizofanyika leo katika uwanja wa Nyundo Kengeja Wilaya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba.[Picha na Ikulu] 16/10/2020. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...