Mkurugenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA), Paul Rwegasha (kushoto) na Mkurugenzi wa huduma kwa wateja Vodacom Tanzania PLC, Harriet Lwakatare wakikata utepe kuzindua duka jipya la kisasa lililopo kwenye uwanja mpya (Termial 3), ikiwa sehemu ya maadhimisho ya sherehe za miaka 20 ya Vodacom nchini.


Mkurugenzi wa huduma kwa wateja Vodacom Tanzania PLC, Harriet Lwakatare akimkabidhi zawadi mteja wa Vodacom aliyetumia mtandao huo  kwa miaka 20, Mohamed Juma Kambi mkazi wa Singida.
Mkurugenzi wa huduma kwa wateja Vodacom Tanzania PLC, Harriet Lwakatare akimkabidhi zawadi mteja wa Vodacom aliyetumia mtandao huo  kwa miaka 20, Eliezery mbalinga mkazi wa Vingunguti Jijini Dar es Salaam






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...