Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akizungumza katika hafla ya kuwapongeza Waheshimiwa Wabunge iliyoandaliwa na Benki ya NMB Jijini Dodoma.

Naibu Spika wa Bunge, Dkt.
Tulia Ackson (katikati) akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB,
Dkt. Edwin Mhede (kushoto) wakati wa hafla ya kuwapongeza Waheshimiwa
Wabunge iliyoandaliwa na Benki hiyo Jijini Dodoma. Kulia ni Mtendaji
Mkuu wa Benki hiyo, Ruth Zaipuna. 
Naibu Spika wa Bunge, Dkt.
Tulia Ackson akizungumza katika hafla ya kuwapongeza Waheshimiwa Wabunge
iliyoandaliwa na Benki ya NMB Jijini Dodoma. 
Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna (kushoto) akiwaelezea jambo Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (wa pili kulia), Mbunge wa Isimani, Mhe. William Lukuvi na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Dkt. Edwin Mhede, (kulia) wakati wa hafla ya kuwapongeza Waheshimiwa Wabunge iliyoandaliwa na Benki ya NMB Jijini Dodoma.
PICHA NA BUNGE



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...