Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akizungumza katika hafla ya kuwapongeza Waheshimiwa Wabunge iliyoandaliwa na Benki ya NMB Jijini Dodoma.

Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (katikati) akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Dkt. Edwin Mhede (kushoto) wakati wa hafla ya kuwapongeza Waheshimiwa Wabunge iliyoandaliwa na Benki hiyo Jijini Dodoma. Kulia ni Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo, Ruth  Zaipuna.

Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akizungumza katika hafla ya kuwapongeza Waheshimiwa Wabunge iliyoandaliwa na Benki ya NMB Jijini Dodoma.

Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth  Zaipuna (kushoto) akiwaelezea jambo Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (wa pili kulia), Mbunge wa Isimani, Mhe. William Lukuvi na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Dkt. Edwin Mhede, (kulia) wakati wa hafla ya kuwapongeza Waheshimiwa Wabunge iliyoandaliwa na Benki ya NMB Jijini Dodoma.

PICHA NA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...