Katibu wa Bunge Ndg. Stephen Kagaigai akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Mkutano wa Kwanza wa Bunge la Kumi na Mbili unaotarajiwa kuanza tarehe 10 Novemba, 2020, Jijini Dodoma. Kuliani ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa Ofisi ya Bunge, Bw. Daniel Eliufoo. PICHA NA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...