
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Bw.Suleiman Ahmed Saleh kuwa Katibu wa Rais wa Zanzibar hafla iliyofanyika leo ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akimuapisha Bw.Suleiman Ahmed Saleh kuwa Katibu wa Rais wa Zanzibar hafla iliyofanyika leo ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar(kulia) Katibu wa Baraza la Mapinduzi pia katibu Kiongozi Dkt.Abdulamid Yahya Mzee
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akisalimiana na familia ya Bw.Suleiman Ahmed Saleh mara baada ya kumuapisha kuwa Katibu wa Rais wa Zanzibar hafla iliyofanyika leo ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.Picha na Ikulu


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...