Mjane wa Baba wa Taifa Mama Maria Nyerere akiongea na Mbunge-Mteule wa Mbeya mjini ambaye pia ni mgombea nafasi ya Naibu Spika wa Bunge la 12 aliyokuwa anatumikia katika Bunge la 11 Dkt. Tulia Ackson wakati wa dhifa ya Kitaifa baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipokula kiapo kuliongoza Taifa kwa kipindi kingine cha miaka mitano iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma
Mjane wa Baba wa Taifa Mama Maria Nyerere akiongea na Mbunge-Mteule wa Mbeya mjini ambaye pia ni mgombea nafasi ya Naibu Spika wa Bunge la 12 aliyokuwa anatumikia katika Bunge la 11 Dkt. Tulia Ackson wakati wa dhifa ya Kitaifa baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipokula kiapo kuliongoza Taifa kwa kipindi kingine cha miaka mitano iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...