Kwa
matokeo haya yanawafanya Azam Fc kucheza michezo sita bila matokeo
kwenye ligi kuu na inawafanya kufikisha alama 29 baada ya michezo kumi
na sita na anakuwa na alama 8 dhidi ya Yanga anaye ongoza ligi kwa alama
37, na Ruvu Shooting anafikisha alama 25 baada ya sare ya leo dhidi ya
Azam fc.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...