Na Khadija Seif, Michuzi TV 

LUGHA ya Kiswahili yaendelea kupewa Kipaumbele  kwenye tamthilia za startimes. 

Akizungumza na waandishi wahabari Meneja Masoko wa Kampuni ya Star Media kupitia King'amuzi cha Startimes, David Malisa amesema kuelekea sikukuu za kufunga mwaka King'amuzi hicho wameamua kuleta Msimu huo wakua karibu na familia zao.

"Kampuni yetu inaongoza kwa tamthilia nzuri za kuelimisha ambazo zinaleta ukaribu wa familia kwa kuweza kutazama maudhui mbalimbali kwa rika tofauti." Amesema Malisa

Hata hivyo Malisa ametoa zawadi ya sikukuu kwa wateja wa startimes kuelekea sikukuu za kufunga mwaka tamthilia 3 kwa mpigo."

Meneja Masoko wa Kampuni ya Star Media kupitia King'amuzi cha Startimes David Malisa akizundua rasmi Zawadi ya Sikukuu kwa wateja wao,ambapo ni Tamthilia 3 The Wang's Family, Blood sisters pamoja na Ndoa yangu iliyoshirikisha wakali kibao wa Bongomovie.Mabalozi wa King'amuzi cha Startimes, Idris Sultan akizungumza na wageni waliohudhuria hafla hiyo ni Idris  Sultan.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...