Wakinamama wakiewa katika zoezi la kusagula sagula viwalo mbalimbali vya kutokea sikukuu.

Wakazi wa Dar es Salaam na maeneo ya jiwani wakiwa wamefurika kwa wingi katikati ya Soko Kuu la Kariakoo katika harakati ya kupata mahitaji mbalimbali kwa maandalizi ya sikukuu za Krismas na Mwaka mpya, hali hii imekuwa ni kawaida kutokea katika eneo hili la Karikakoo hasa inapofika wakati wa kukaribia sikukuu. 
Picha na Emmanuel Massaka, Michuzi Tv)

Pilika pilika za hapa na pale.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...