Wakazi wa eneo la Bombambili, Kata ya Kivule Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam waishio eneo la Kwakapungu wakivuka kwa shida katika eneo la bonde la kwa Mbonde kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam na kusababisha mawasiliano kati ya eneo hilo la Kwambonde na Kwa Chuma kukatika. Ipo haja eneo hilo kujengwa daraja ili kuwezesha wananchi kupita bila usumbufu. (Picha na Mroki Mroki).



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...