TECNO inaendelea kuwapa furaha wateja wake hii ni baada ya kukabidhi zawadi kwa Bwana Ramadhani Salim aliyejishindia mashine yakufulia, Jacquline Kaseja vocha ya manunuzi yenye thamani ya sh.500,000 na mshindi wa TECNO Spark 5pro Zee la Vyeti aliyepatikana kupitia challenge ya iliyofanyika twitter. 

Zawadi bado zipo nyingi na TECNO inawakumbusha wateja wake kutembelea maduka yote ya simu ili kuendelea kufurahiya zawadi mbalimbali kutoka TECNO kama vile rice cooker, blender, cattle na gift package pindi ununua apo simu yoyote ya TECNO lakini pia endapo ukinunua camon 16 na Spark 5 pro moja kwa moja utaingizwa katika droo kubwa na washindi kuondoka na Smart TV ya nchi 55, droo hii kubwa itachezeshwa live trh 15/1/2021 kupitia @tecnomobiletanzania. 

TECNO camon 16 na Spark 5pro ni matoleo mapya kwa kampuni hii nah ii imepelekea simu hizi kuwa muonekano wenye kuvutia na uimara katika utumiaji. Camon 16 ni simu yenye kamera kali kuzidi simu zote za TECNO nyuma ikiwa na MP 48 na selfie ni MP 16, ukubwa wa memory ni 128GB+4GB RAM na battery lenye kudumu na chaji wa muda mrefu la mAh 5000.

Spark 5 pro ni simu yenye kioo kipana cha nch 6.6, Spark 5pro inakupa nafasi ya kuchukua picha kwa ukubwa zaidi kutoka na kuwa na wigo mpana wa kioo vilevile ina MP16 nyuma na selfie MP 8, memory kubwa GB 64+GB 3 RAM na battery lenye kudumu na chaji kwa muda mrefu mAh5000.

Tembelea https://www.tecno-mobile.com/tz/home/#/ 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...