DONALD Trump, Rais wa 45 wa Marekani ameondoka Ikulu akiambatana na mkewe Melania Trump na hawatahudhuria hafla ya kuapishwa kwa Rais mteule wa taifa hilo Joe Biden leo.
Trump aliwasili katika uwanja wa Joint Base Andrews kabla ya kuelekea Palm Beach, Florida, ambapo ametoa shukrani kwa wafuasi wake akiahidi kuwapigania, kuangalia na kusikiliza kinachoendelea katika Taifa hilo kuahidi kurudi kwa namna nyingine.
Makamu wa Rais Mike Pence hajaambatana na Trump na atahudhuria uapisho wa Joe Biden leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...