Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amesema watumishi waliokosa maadili watachukuliwa hatua za kisheria ikiwemo kupelekwa kwenye vyombo vya dola. amesema kuwa watumishi hao wanaharibu taswira ya watumishi wote wa sekta ya afya kuonekana ni wezi wa dawa na kuwaonya kuwa WATUMISHI HAO WATAFUNGWA KWA WIZI WA DAWA



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...