Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wageni mbalimbali waliohudhuria hafla fupi ya utiaji saini Mkataba kati ya Serikali na Kampuni ya Lz Nickel limited kwa ajili ya uchimbaji wa madini hayo Ngara mkoani Kagera leo tarehe 19 Januari 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwashukuru Wananchi na kuwaaga mara baada ya hafla ya utiaji saini Mkataba kati ya Serikali na Kampuni ya Lz Nickel limited kwa ajili ya uchimbaji wa madini hayo mkoani Kagera leo tarehe 19 Januari 2021.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...