RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua iliyosomwa na Rais Mstaaf wa Zanzibar wa Awamu ya Tano Alhaj Dkt.Salmin Amour Juma (kulia kwa Rais) baada ya kamiliza mazungumzo yao ya faragha wakati alipomtembelea nyumbani kwake Migombani Jijini Zanzibar leo (Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...