RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Sheikh Abdalla Talib baada ya kumalizika kwa Sala ya kuusalia mwili wa Marehemu Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mstaaf  Vuai Mwinyi, iliofanyika katika Msikiti wa Magombeni ( Mchekeni ) (Picha na Ikulu)RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduziu Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Waumini wa Kiislam katika Sala ya kuusalia mwili wa Marehemu Vuai Mwinyi, Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mstaaf,  iliyoongozwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi ksatika Msikiti wa Magombeni Jijini Zanzibar (Mchekeni ) (Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...