RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dk. Hussein Ali Mwinyi akitembelea Soko la Kimataifa la Dagaa Kasenda akiwa katika ziara yake Mkoani Geita Wilaya ya Chato na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Uvuvi na Mifugo Mhe. Mashimba Ndaki na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad.

WANANCHI wa Geita wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akiwahutubia wakati wa ziara yake kutembelea Soko la Kimataifa la Dagaa Kasenda Geita leo 14/1/2021

WANANCHI wa Mkoa wa Geita wakishangilia wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwahutubia katika viwanja vya Soko la Kmataifa la Dagaa Kasenda Mkoani Geita.

WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Machimba Ndaki akizungumza na kutowa maelezo ya Soko la Kimataifa la Dagaa Kasenda wakati wa ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi, kutembelea soko hilo akiwa Mkoani Geita.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwahutubia Wananchi wa Geita katiuka viwanja vya Soko la Kimataifa la Dagaa Kasenda Mkoani Geita Wilaya ya Chato, wakati wa ziara yeke kutembelea soko hilo na kujionea biashara ya Dagaa katika Soko hilo, (kulia kwa Rais) Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...