Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akiongoza kikao hicho alipokutana na Menejimenti kwa lengo la kujadili masuala mbalimbali yanayotekelezwa na Ofisi hiyo.

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Ndg. Andrew Massawe (kulia aliyesimama) akitoa taarifa kwa Waziri Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama na Naibu Mawaziri anayeshughulikia (Kazi, Vijana na Ajira) Mhe. Patrobas Katambi (kushoto) na Mhe. Ummy Nderiananga anayeshughulikia (Wenye Ulemavu) wakati wa kikao kazi hicho.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (katikati) akiongoza kikao cha Menejimenti kilichofanyika hii leo Januari 16, 2020 katika Ukumbi wa Mkutano uliopo Ofisi ya Waziri Mkuu, Ngome Jijini Dodoma. Kushoto ni Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia (Kazi, Vijana na Ajira) Mhe. Patrobas Katambi (kulia) ni Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Wenye Ulemavu), Mhe. Ummy Nderiananga.

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia (Kazi, Vijana na Ajira) Mhe. Patrobas Katambi akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi hicho kilichofanyika katika Ukumbi wa Mkutano uliopo Ofisi ya Waziri Mkuu, Ngome Jijini Dodoma.

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Wenye Ulemavu), Mhe. Ummy Nderiananga akieleza jambo wakati wa kikao kazi hicho kilichofanyika katika Ukumbi wa Mkutano uliopo Ofisi ya Waziri Mkuu, Ngome Jijini Dodoma Januari 16, 2020.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akipitia taarifa pamoja na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Wenye Ulemavu), Mhe. Ummy Nderiananga (kulia) wakati wa kikao kazi kilichowakutanisha kwa lengo la kujadili masuala mbalimbali yanayotekelezwa na Ofisi hiyo.

Kamishna wa Kazi, Brig. Gen. Francis Mbindi (katikati) akieleza kuhusu Sheria mbalimbali zinazohusiana na Sekta ya kazi wakati wa kikao hicho kilichokuwa kikiongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama.

PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU

(KAZI, VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU)

OWM – KVAU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...