Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Charles Mbuge (kulia) na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Gerald Kusaya wakitiliana sahihi mkataba wa ushirikiano katika kilimo wakati wa hafla iliyofanyika Makao Makuu ya JKT, Wilaya ya Chamwino, Dodoma jana.
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Charles Mbuge (kulia) na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Gerald Kusaya wakibadilisha hati baada ya kutiliana sahihi mkataba wa ushirikiano katika kilimo wakati wa hafla iliyofanyika Makao Makuu ya JKT, Wilaya ya Chamwino, Dodoma jana. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...