Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali  Charles Mbuge (kulia) na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo,  Gerald Kusaya  wakitiliana sahihi mkataba wa ushirikiano katika kilimo wakati wa  hafla iliyofanyika Makao Makuu ya JKT, Wilaya ya Chamwino, Dodoma jana.
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali  Charles Mbuge (kulia) na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo,  Gerald Kusaya wakibadilisha hati baada ya kutiliana sahihi mkataba wa ushirikiano katika kilimo wakati wa  hafla iliyofanyika Makao Makuu ya JKT, Wilaya ya Chamwino, Dodoma jana. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...