Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es salaam ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akionesha Tuzo aliyokabidhiwa na Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kinondoni kwa kutambua mchango wake mkubwa alioutoa kwa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es salaam, wakati wa Maadhimisho ya kutimia miaka 44 ya Chama cha Mapinduzi CCM yaliyofanyika leo Febuari 06,2021 katika Uwanja wa Shule ya Msingi Mwabwepande Wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es salaam.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es salaam ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipokea Tuzo kutoka kwaMwenyekiti wa CCM Wilaya yua Kinondoni Cde, Harold Maruma kwa niaba ya Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kinondoni kwa kutambua mchango wake mkubwa alioutoa kwa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es salaam, kwenye Maadhimisho ya kutimia miaka 44 ya Chama cha Mapinduzi CCM yaliyofanyika leo Febuari 06,2021 katika Uwanja wa Shule ya Msingi Mwabwepande Wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...