Wajumbe wa Kamati ya Bunge Masuala ya UKIMWI wakiwa katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma. Katika kikao hicho Mkurugenzi wa Idara ya Kamati za Bunge, Ndugu Athuman Hussen aliwasilisha mada kuhusu Historia, Muundo na Majukumu ya Kamati hiyo.


Mkurugenzi wa Idara ya Kamati za Bunge, Ndugu Athuman Hussen akiwasilisha mada kuhusu Historia, Muundo na Majukumu ya Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma. 
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI Mhe. Fatma Toufiq akizungumza katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma. Katika kikao hicho Mkurugenzi wa Idara ya Kamati za Bunge, Ndugu Athuman Hussen aliwasilisha mada kuhusu Historia, Muundo na Majukumu ya Kamati hiyo.

 

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...