Mkurugenzi wa Kitengo cha Udhibiti wa Mionzi  wa Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania ( TAEC),Dkt.  Justine Ngaile akitoa mada kwa maofisa  40  waliopo kwenye mafunzo ya kitaifa ya vifaa vinavyotumia mionzi kukagua mizigo katika maeneo  ya mipaka, viwanja vya ndege  ,bandari na wasambazaji  wa vifaa vyenye vyanzo vya mionzi  ambapo mafunzo hayo  yanafanyika makao makuu ya Tume ya Nguvu za Atomiki yaliyopo jijini Arusha .
Maofisa wanaopatiwa mafunzo ya kitaifa ya vifaa vinavyotumia mionzi wakimsikiliza kwa makini Mkufunzi, Mkurugenzi wa Kitengo cha Udhibiti wa Mionzi Dk. Justine Ngaile .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...