**************************************************

11/03/2021 DAR ES SALAAM

Mwenyekiti wa Shirikisho la Wakuu wa Polisi Mashariki Mwa Afrika EAPCCO ambaye pia ni Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akifuatilia mkutano wa Wakurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wa Shirikisho hilo, mkutano ambao umefanyika kwa njia ya mtandao Video Conference na kufunguliwa na Mwenyekiti wa Shirikisho hilo ambapo Wakurugenzi hao watatumia fursa ya mazungumzo kwa kujadiliana masuala ya ugaidi, ukatili wa kijinsia pamoja na masuala ya haki za binadamu. Picha na Jeshi la Polis

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...