Meneja wa Chaneli za Kidijitali na malipo kwa mtandao M-Pesa (Digital Channels and Online payments ) wa Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania PLC Josephine Mushi akipokea tuzo za Tanzania Digital Awards kutoka kwa Afisa Uendeshaji wa kampuni ya Serengeti Bytes,  Michael Mallya, Vodacom imeshinda tuzo mbili, zana (App) bora ya huduma za kifedha kupitia M-Pesa App na kampeni bora ya masoko mtandaoni ambapo kampeni ya  “Yajayo Yanafurahisha” ilishinda.

Meneja Mawasiliano wa Kampuni hiyo, Alex Bitekeye (kushoto) akipokea tuzo za Tanzania Digital Awards kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Serengeti Bytes,  Kennedy Mmari, Vodacom imeshinda tuzo mbili, zana (App) bora ya huduma za kifedha kupitia M-Pesa App na kampeni bora ya masoko mtandaoni ambapo kampeni ya  “Yajayo Yanafurahisha” ilishinda.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...