Meridianbet Inakuletea Odds Kubwa Na Za Kijanja Kabisa Kukamilisha Wiki yako.


Timu kubwa kibao kukutana katika viwanja mbalimbali wikiendi hii. 

Chagua Meridianbet na uweze kuwa mshindi wa kibingwa. Mchongo mzima upo hivi;


Kwenye Ligue 1 Ijumaa hii, Lille watakuwa wageni wa Metz. Hii ni nafasi nyingine kwa Lille kukaribia ubingwa.Meridianbet imekuandalia Odds ya 1.85 kwa Lille.


La Liga kutakuwa na EL Classico, Pale Estadio De Stefano Real Madrid watawaalika Barcelona, katika kutafuta usukani wa ligi hiyo. Meridianbet imekuwekea odds ya 2.40 kwa Barcelona


EPL kuendelea Jumamosi hii. Kwenye Uwanja wa Anfield, Liverpool watakuwa wenyeji wa Aston Villa. Ukichagua Meridianbet, utakuta Odds ya 1.60 kwa Liverpool.


Jumamosi hii pia, katika Bundesliga, kutakuwa na mechi kati ya Bayern Munich na Union Berlin. Ukichagua na Meridianbet, utakuta Odds ya 1.42 kwa Bayern Munich. 


Siku ya jumapili, katika ligi kuu Uingereza, Tottenham watawaalika Manchester United. Weka Utabiri wako, kwani Meridianbet tumekuwekea Odds ya 2.50 kwa Manchester United


Kule Italia katika Serie A, Lazio watakuwa wageni wa Verona. Na ukichagua Meridianbet, utakuta Odds ya 2.15 kwa Lazio.  


Katika La Liga Siku ya Jumatatu, baada ya kuwafunga Atletico Madrid, Sevilla watakuwa ugenini kuwakabili Celta Vigo. Meridianbet kumekuwekea Odds ya 2.25 kwa Sevilla


Meridianbet, Nyumba yenye Odds Bora na Bonasi Kubwa!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...