Gari iliyobeba mwili wa hayati askofu wa jimbo la
Njombe ukitoka uwanja wa ndege mara baada ya kuupokea mwili huo uliowasili leo
mchana kutokea jijini Dar es Salaam.Baadhi ya mapadre mkoani Njombe wakiupokea mwili
wa hayati askofu wa jimbo la Njombe kutoka kwenye ndege ulipowasili ukitokea
Dar es Salaam.Mwili wa askofu Maluma ukiwa kwenye jeneza mara
baada ya kushushwa uwanja wa ndege ukiombewa tayari kwa kupelekwa kanisani.Baadhi ya wananchi wakiwa barabarani kushuhudia
maandamano mara baada ya kupokea mwili wa askofu Maluma wa jimbo la Njombe.Kati kati aliyevaa miwani myeupe ni mzee Philip
Mangula makamu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM Tanzania bara na wakwanza
kulia ni mkuu wa mkoa wa Njombe Mhandisi Marwa Lubirya wakiwa kanisani wakati
wa kuaga mwili wa askofu Maluma katika kanisa katoliki jimbo la NjombeKati kati aliyevaa barakoa ni mbunge wa jimbo la
Njombe mjini Deodatus Mwanyika wakiwa kanisani wakati wa kuaga mwili wa askofu
Maluma.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...