Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akipokea zawadi ya kitabu kutoka kwa Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Dkt. Donald Wright (kulia) alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Kushoto ni Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai. Dhumuni la miadi hiyo ni kumsalimu na kujadili masuala Mbalimbali ya ushirikiano wa kisekta kati yao na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Dkt. Donald Wright alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Dhumuni la miadi hiyo ni kumsalimu na kujadili masuala Mbalimbali ya ushirikiano wa kisekta kati yao na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na ugeni kutoka Ubalozi wa Marekani nchini ulioongozwa na Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Dkt. Donald Wright (wapili kushoto) walipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Kulia ni Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai. Dhumuni la miadi hiyo ni kumsalimu na kujadili masuala Mbalimbali ya ushirikiano wa kisekta kati yao na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...