Balozi wa Kenya Afrika Kusini Mh Catherine Mwangi ametembelea Ubalozi wa Tanzania Pretoria na kufanya mazungumzo na Balozi Gaudence Milanzi. Mazungumzo yalisisitiza ushirikiano wa karibu ktk maeneo mbalimbali kufuatia ziara ya Mh Rais Samia Suluhu nchini Kenya.
Balozi Milanzi akimkabidhi kitabu kinachohusu Tanzania Mh Balozi Catherine Mwangi Ubalozini Pretoria.
Mabalozi Milanzi na Mwangi wakiwa na maafisa ubalozi kushoto Rose Jairo-TZ, Col Msakulo TZ na Beatrice Karago toka Kenya.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...