Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika ameibana serikali kwa kuhoji ni linivijiji 20 jimboni humo vitaingizwa kwenye mpango wa kuwekewa umeme wa REA na tatizo la ukatikaji wa mara kwa mara wa umeme utaisha?
Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mbunge Mwanyika akihoji wakati wa maswali na majibu bungeni Dodoma pamoja na majibu kutoka Wizara ya Nishati.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...