FAMILIA ya Chipungahelo na Zayumba inasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa Mary Alice Chipungahelo (Mama Chipps) kilichotokea tarehe 09/05/2021 majira ya saa 8 mchana katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar Es Salaam. 

Msiba uko Magomeni Mapipa Mtaa wa Takadiri kwa Mama Joyce Nkondola. Mazishi yanatarajiwa kufanyika Alhamisi - Ratiba imeambatanishwa.

TAHADHARI: Familia Inaomba Tuchukue Tahadhari Kwa Kuvaa BARAKOA Kwenye Mikusanyiko.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...