Kampuni ya KOM Group Of Companies Limited ya Mjini Kahama mkoani Shinyanga leo Jumatatu Mei 10,2021 imekabidhiwa nyaraka za kumiliki eneo la heka 100 kwa ajili ya uwekezaji wa Kiwanda cha kuchakata nyama za kuku na chakula cha mifugo katika eneo la Kibaha vijijini mkoani Pwani. Kushoto ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akikabidhi nyaraka hizo leo jijini Dodoma kwa Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya KOM Group Of Companies Limited Shija Felician (kulia).


Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya KOM Group Of Companies Limited Shija Felician (kulia) akionesha nyaraka za kumiliki eneo la heka 100 kwa ajili ya uwekezaji wa Kiwanda cha kuchakata nyama za kuku na chakula cha mifugo katika eneo la Kibaha vijijini mkoani Pwani. Kushoto ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...