Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) pamoja na Waziri wa Maji, Nishati na Madini wa Zanzibar Mhe. Suleiman Masoud Makame wakisaini makubaliano ya pamoja ya ushirikiano kwa wizara hizo mbili.
Makubaliano hayo yanalenga kutoa fursa kwa wizara hizo mbili zenye dhamana ya kutoa huduma ya maji kushirikishana uzoefu na mbinu mbalimbali ili kulifikia lengo la kufikisha huduma ya majisafi, salama na yenye kutosheleza kwa wananchi.
Home
HABARI
AWESO ATEKELEZA MAONO YA RAIS SAMIA KUHUSU USHIRIKIANO NA SERIKALI YA ZANZIBAR KWA VITENDO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...