Waziri wa Maji  Mhe. Jumaa Aweso (Mb) pamoja na Waziri wa Maji, Nishati na Madini  wa Zanzibar Mhe. Suleiman Masoud Makame wakisaini makubaliano ya pamoja ya ushirikiano kwa wizara hizo mbili.

Makubaliano hayo yanalenga kutoa fursa kwa wizara hizo mbili zenye dhamana ya  kutoa huduma ya maji  kushirikishana uzoefu na mbinu mbalimbali ili kulifikia lengo la kufikisha huduma ya majisafi, salama na yenye kutosheleza kwa wananchi.





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...