Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa, akizungumza wakati wa uzinduzi wa program inayowaandaa wanafunzi wa vyuo vikuu kwa soko la ajira za kibenki uliondaliwa na Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), chuoni hapo Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Idara ya Taaluma ya Fedha wa UDBS, Dk. Evelyn Richard, Mkuu wa UDBS, Prof. Ulingeta Mbamba na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya mabenki Tanzania (TBA), Tusekelege Joune.

Kaimu Mkuu wa Rasilimali Watu wa Benki ya DCB, Meshack Kayila (kushoto), akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), waliohudhuria uzinduzi huo chuoni hapo, Dar es Salaam, leo.


Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), wakihudhuria uzinduzi huo chuoni hapo, Mlimani, leo.


Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya mabenki Tanzania (TBA), Tusekelege Joune (kulia), akizungumza wakati wa uzinduzi wa program inayowaandaa wanafunzi wa vyuo vikuu kwa soko la ajira za kibenki uliondaliwa na Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), chuoni hapo Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni Mratibu wa Kituo Huduma za Kibenki na Fedha wa UDBS, Dk. Tobias Swai, Mkuu wa Idara ya Taaluma ya Fedha wa UDBS, Dk. Evelyn Richard, Mkuu wa UDBS, Prof. Ulingeta Mbamba na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa.


Mkuu wa Idara ya Taaluma ya Fedha wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), Dk. Evelyn Richard, akizungumza wakati wa uzinduzi wa program inayowaandaa wanafunzi wa vyuo vikuu kwa soko la ajira za kibenki uliondaliwa na Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), chuoni hapo Dar es Salaam leo. Kutoka kushoto kwake pichani ni, Mkuu wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), Prof. Ulingeta Mbamba, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya DCB, Godfrey Ndalahwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya mabenki Tanzania (TBA), Tusekelege Joune.


Mkuu wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), Prof. Ulingeta Mbamba, akizungumza wakati wa uzinduzi wa program inayowaandaa wanafunzi wa vyuo vikuu kwa soko la ajira za kibenki uliondaliwa na Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), chuoni hapo Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni Mratibu wa Kituo Huduma za Kibenki na Fedha wa UDBS, Dk. Tobias Swai, Mkuu wa Idara ya Taaluma ya Fedha wa UDBS, Dk. Evelyn Richard, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya mabenki Tanzania (TBA), Tusekelege Joune.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...