Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa ITV na Radio One, Joyce Mhavile wakati alipowasili kwa ajili ya kutembelea vyombo vya habari vya IPP.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) akipokelewa na uongozi wa The Guardian Ltd wakati alipokuwa natembelea kampuni hiyo leo Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akiwa studio za ITV.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akitambulishwa baadhi ya vipindi vya Capital radio
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi
Liberata Mulamula akielea jambo wakati alipokuwa katika studio za East
Africa radio jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akisalimiana na Mhariri Mkuu wa Gazeti la Nipashe, bb. Beatrice Bandawe.
Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata
Mulamula akielezewa jinsi habari na vipindi mbalimbali vinavyotayarishwa
katika studio za ITV. Mkurugenzi Mtendaji wa ITV na Radio One, Joyce
Mhavile.
*****************
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) ametembelea vyombo vya habari vya Kampuni ya IPP Ltd na kuvipongeza kwa kufanya kazi vizuri.
Balozi Mulamula ametembelea ‘The Guardian Ltd’ inayozalisha magazeti ya The Guardian na Nipashe, Radio One, Capital radio, East Africa radio, ITV, Capital TV pamoja na East Africa TV.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...