Meneja Msaidizi wa Idara ya Uhusiano wa Benki Kuu ya Tanzania BoT, Vicky Msina akizungumza na baadhi ya maofisa wa benki kuu katika banda lao leo kwenye maonesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam katika viwanja vya Julius Nyerere maarufu Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam Juni 29, 2021.
Baadhi ya wananchi wakipata maelezo kutoka kwa maofisa wa Benki Kuu ya Tanzania BoT waliotembelea banda hilo kwenye maonesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam kwenye viwanja vya Julius Nyerere maarufu Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam Juni 29, 2021.
Mmoja wa wananchi waliotembelea katika banda la Benki Kuu ya Tanzania BoT akiuliza swali kwa maofisa wa benki hiyo kwenye maonesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam kwenye viwanja vya Julius Nyerere maarufu Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam Juni 29, 2021.
Baadhi ya Maofisa wa Benki Kuu ya Tanzania BoT wakiwa tayari kabisa kuwahudumia wananchi watakaotembelea katika banda hilo katika maonesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam kwenye viwanja vya Julius Nyerere maarufu Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam Juni 29, 2021.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...