Wananchi wakihudumiwa kwenye Banda la Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) katika Maonesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam yanayofanyika Uwanja wa Maonesho wa Mwl J.K Nyerere Dar es Salaam. Huduma zinazotolewa na BRELA katika Maonesho ni Usajili wa Makampuni, Usajili wa Majina ya Biashara, Usajili wa Alama za Biashara na Huduma, Utoaji wa Hataza, Utoaji wa Leseni za Biashara Kundi A, Utoaji wa Leseni za Viwanda na Huduma za baada ya Usajili na Kupata Leseni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...