Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi leo ameshiriki Bonanza la Mazoezi ya kutembea lililoanzia Mlimani City Dar kwa ajili ya kuchangia mil 100 kwa watoto njiti  Kwenye hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Katika bonanza Hilo Prof. Makubi amehamasisha wananchi  kufanya mazoezi Mara kwa Mara ili kujikinga na Magonjwa yasiyoambukiza

Pia Prof. Makubi amehamasisha wananchi kujiunga na  Bima ya afya.


Katibu Mkuu huyo alimwakilisha Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt.Dorothy Gwajima.




 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...