Na Mwandishi Wetu
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mbeya imemuachia huru leo Juni 28,2021 kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mdude Nyagali aliyekuwa akishtakiwa kwa kukutwa na dawa za kulevya.
Mdudu ameachiwa na Mahakama hiyo leo baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuwasilisha ushahidi wa kuweza kumtia hatiani.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...